WELCOM ALL

I WARMLY WELCOME AND THANK ALL WHO ARE VISITING THIS BLOG

WELCOME TO MWANG'ONDA'S WORLD

ITS AN OPPORTUNITY FOR ALL US TO AIR OUR VIEWS IN BUILDING OUR NATION

GABRIEL MWANG'ONDA

Friday, April 23, 2010

Tuesday, April 13, 2010

THE LAKE NGOSI

MOJA KATI LAKES ZA AJABU ZILIZOKO KATIKA SAFU ZA MILIMA YA UYOLE,UKIWA UNATOKEA MBEYA MJINI KUELEKEA TUKUYU

ONE OF THE BIG HOTELS IN TUKUYU

KEEP-LEFT YA TUKUYU MJINI AMBAYO IKO NJE KIDOGO YA MJI LAKINI NI KARIBU NA MAKAO MAKUU YA WILAYA YA RUNGWE..............JENGO LILILO NYUMA YA MNARA NI HOTEL MAARUFU IJULIKANAYO KAMA LANDMARK HOTEL

OTHER MAGIFISCANT VIEW OF TUKUYU

KAPOROGWE FALLS IN TUKUYUA MYSTERIOUS LAKE MASOKO OF TUKUYU FORMED FROM NOWHERE,EVERYONE HIS OR HER OWN HISTORY BECAUSE IT IS NOT EASY TO TRACE THE SOURCE OF ITS WATER NO RIVER GOES INTO IT,BUT STILL IT IS FULL THROUGHOUT THE YEAR

THE NGOZI CRATER


This crater has its own mysterious history of its formation,some say it was formed miraculous,anyone who wants to swim must consult the people who live around the lake,it is on top of a kyejo volcanic mountain,just when you start driving from mbeya town to tukuyu on your left side,the place is too cold you are advised to wear a sweater or a jacket to keep you warm

A BEUTFUL VIEW OF TUKUYU TOWN

This is one of the most beutful towns in Tanzania it goes by the name TUKUYU, a town centre for Rungwe district,This part of rungwe is headed by his excellency Prof Mwakyusa as the MP and he so far doing very well when it comes to roads,health services and education.......the place has a cool and cold condition ,its soil is fertile and its ever green throughout the year,....on the right there is a beutful volcanic mountain of rungwe

Friday, April 9, 2010

ORIFLAME TANZANIA

Oriflame details wasiliana nami kupitia hii blog, au wasiliana nami kupiatia huyu Gabriel,

sethgabby6@gmail.com, utapata taarifa zote, kwani ni profitable company ambayo utapata fedha za kutosha na kujenga maisha yako. Anza sasa na usichelewe kabisa. TANZANIA AMKA.

AMON ISHENGOMA VISITATION

Today evening i got a suprise visit from my friend amon ishengoma who is an accountant working with a SECURITY GROUP OF COMPANIES ................................. From holand ,of coz it one of the biggest n good supprise since the bigining of this year

EMMANUEL IS ABOUT TO L

HATIMAYE NDILAHOMBA THABIT AWA CHIEF ACCOUNTANT

Kijana machachari ambaye anajua yeye ni nani na anataka kitu gani wakati gani,ameupata uchief accountant ambao alikua akiutafuta kuelekea kwenye udirector ,amekuwa akifanya vyote hivi kwa wakati husika bila kuharibu mipango mingine,kipaji uelewa bidii ya kijana huyo ilionekana pale kampuni ya kutoka ITALY na ubalozi wa ITALY hapa nchini ulivymuona akichambua kwa makini sana mambo ya usimamizi wa fedha.

CCM YACHANGISHA FEDHA ZA KAMPENI

Chama cha siasa kikongwe na kikubwa hapa nchini (CCM) Chama Cha Mapinduzi kimebuni mbinu mpya na ya kisasa ambayo imekuwa ikitumika
na vyama vikubwa katika nchi zilizoendelea ,ambayo hurahisisha shughuli nzima ya uchangishaji wa fedha za kampeni nakulifanya lifanyike kwa ufanisi mkubwa zaidi huku nguvu na rasilimali chache zikitumika,sherehe za uzinduzi wa shughuli nzima zitafanyika katika ukumbi wa mlimani city leo jioni kuanzia mida ya sa mbili

A NEW POST

I am currently working with STURROCK FLEX LTD ,maktaba complex