Thursday, April 29, 2010
Wednesday, April 28, 2010
Friday, April 23, 2010
Thursday, April 22, 2010
Thursday, April 15, 2010
Tuesday, April 13, 2010
THE LAKE NGOSI
ONE OF THE BIG HOTELS IN TUKUYU
OTHER MAGIFISCANT VIEW OF TUKUYU
KAPOROGWE FALLS IN TUKUYU
A MYSTERIOUS LAKE MASOKO OF TUKUYU FORMED FROM NOWHERE,EVERYONE HIS OR HER OWN HISTORY BECAUSE IT IS NOT EASY TO TRACE THE SOURCE OF ITS WATER NO RIVER GOES INTO IT,BUT STILL IT IS FULL THROUGHOUT THE YEAR


THE NGOZI CRATER

This crater has its own mysterious history of its formation,some say it was formed miraculous,anyone who wants to swim must consult the people who live around the lake,it is on top of a kyejo volcanic mountain,just when you start driving from mbeya town to tukuyu on your left side,the place is too cold you are advised to wear a sweater or a jacket to keep you warm
A BEUTFUL VIEW OF TUKUYU TOWN

Friday, April 9, 2010
ORIFLAME TANZANIA
Oriflame details wasiliana nami kupitia hii blog, au wasiliana nami kupiatia huyu Gabriel,
sethgabby6@gmail.com, utapata taarifa zote, kwani ni profitable company ambayo utapata fedha za kutosha na kujenga maisha yako. Anza sasa na usichelewe kabisa. TANZANIA AMKA.
sethgabby6@gmail.com, utapata taarifa zote, kwani ni profitable company ambayo utapata fedha za kutosha na kujenga maisha yako. Anza sasa na usichelewe kabisa. TANZANIA AMKA.
AMON ISHENGOMA VISITATION
Today evening i got a suprise visit from my friend amon ishengoma who is an accountant working with a SECURITY GROUP OF COMPANIES ................................. From holand ,of coz it one of the biggest n good supprise since the bigining of this year
HATIMAYE NDILAHOMBA THABIT AWA CHIEF ACCOUNTANT
Kijana machachari ambaye anajua yeye ni nani na anataka kitu gani wakati gani,ameupata uchief accountant ambao alikua akiutafuta kuelekea kwenye udirector ,amekuwa akifanya vyote hivi kwa wakati husika bila kuharibu mipango mingine,kipaji uelewa bidii ya kijana huyo ilionekana pale kampuni ya kutoka ITALY na ubalozi wa ITALY hapa nchini ulivymuona akichambua kwa makini sana mambo ya usimamizi wa fedha.
CCM YACHANGISHA FEDHA ZA KAMPENI
Chama cha siasa kikongwe na kikubwa hapa nchini (CCM) Chama Cha Mapinduzi kimebuni mbinu mpya na ya kisasa ambayo imekuwa ikitumika
na vyama vikubwa katika nchi zilizoendelea ,ambayo hurahisisha shughuli nzima ya uchangishaji wa fedha za kampeni nakulifanya lifanyike kwa ufanisi mkubwa zaidi huku nguvu na rasilimali chache zikitumika,sherehe za uzinduzi wa shughuli nzima zitafanyika katika ukumbi wa mlimani city leo jioni kuanzia mida ya sa mbili
na vyama vikubwa katika nchi zilizoendelea ,ambayo hurahisisha shughuli nzima ya uchangishaji wa fedha za kampeni nakulifanya lifanyike kwa ufanisi mkubwa zaidi huku nguvu na rasilimali chache zikitumika,sherehe za uzinduzi wa shughuli nzima zitafanyika katika ukumbi wa mlimani city leo jioni kuanzia mida ya sa mbili
Subscribe to:
Posts (Atom)