Chama cha siasa kikongwe na kikubwa hapa nchini (CCM) Chama Cha Mapinduzi kimebuni mbinu mpya na ya kisasa ambayo imekuwa ikitumika
na vyama vikubwa katika nchi zilizoendelea ,ambayo hurahisisha shughuli nzima ya uchangishaji wa fedha za kampeni nakulifanya lifanyike kwa ufanisi mkubwa zaidi huku nguvu na rasilimali chache zikitumika,sherehe za uzinduzi wa shughuli nzima zitafanyika katika ukumbi wa mlimani city leo jioni kuanzia mida ya sa mbili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
WE ARE IN NEED OF CONSTRUCTIVE COMMENTS